Friday, May 31, 2013

KAOMU HIGHVIEW AT MAKUMBUSHO YA TAIFA




NYERERE DAY AT MAKUMBUSHO YA TAIFA

 
Pupils from different schools in Dar es Salaam turned up for Nyerere Day on 14th October,2012 at Makumbusho ya Taifa Dar es Salaam. The event was organized by Watoto Arts Organisation.

Sunday, May 26, 2013

AMERICAN

On 29th March,2013.From left, Mr. Miraji,Mama Kaombwe, Mrs.Zuberi and Mr. Kaombwe posing for a group picture at Kaomu Highview Nursery & Primary School

AMERICAN GARDEN, TBC AND KAOMU HIGHVIEW ORGANISATION

Mr. Miraji, an American Garden Official arranging some of the products brought by his company ready to distribute to the children and parents at Kaomu Highview Nursey & Primary School.

Friday, December 7, 2012

WADAU TUNAOMBA MICHANGO YENU-HII NI SADAKA

Wakazi hawa wa Mtaa wa Kingugi,wanauchungu na kuharibika kwa mazingira ya Mtaa wao wapo bega kwa bega katika kujitolea katika ujenzi wa Mtaro ili kupunguza kasi ya maji  ambayo inaleta uharibifu.Utaratibu huu wa kujitolea umeanza rasmi tarehe 1/12/2012 na niendelevu.
Baada ya kusambaza Serela mbili za mawe, Wakazi hawa wanasubiri Serela jingine kutoka Mji mwema.
 
Hii ni hali halisi,tunahitaji misaada ya hali na mali ili tuweze kuokoa mazingira ya Mtaa wa Kingugi.Kuna usemi usemao "Binaadamu hashindwi na mazingira yake".Kwa hiyo Wakazi wa Kingugi,Marafiki,Mashirika ya kitaifa na Kimataifa, taasisi mbali mbali,Wasomi,Wanasiasa na watu wote wanaopenda maendeleo tunaomba michango yenu ya hali na mali.

KULINDA MAZINGIRA YA MTAA WA KINGUGI

Baadhi ya Wakazi wa Mtaa wa Kingugi Kata ya Kiburugwa wa kijitolea kwa nguvu na mali katika kuboresha mazingira ya Mtaa wao chini ya Mhandisi wa Mtaa Ndugu Siraji Rajabu.Hii ilikuwa siku ya Jumapili ya tarehe 2/12/2012.
Mvua zilizonyesha mwishoni mwa mwezi wa Novemba,2012 zilileta athari kama inavyoonekana katika picha.Hili ni eneo la msikiti wa kwa Dumba lume.

Mhe. Diwani Mawazo Waziri wa Kata ya Kiburugwa akisisitiza jambo  kuhusu  miundo mbinu katika mkutano wa hadhara Mtaa wa Kingugi mapema Novemba,2012.

Mkazi wa Kingugi,Yahya Dihenga akijitolea kujenga Mtaro kuelekea Mto Mzinga siku ya Jumapili, tarehe 2/12/2012.Huu ni utaratibu ambao Wakazi wa Kingugi wamejiwekea kila siku ya Jumapili lazima wafanye jambo fulani kuhusu mazingira yao.